Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2018
Picha
Mamoudou Gassama: 'Spiderman' aliyeishangaza Ufaransa kwa kumuokoa mtoto kutoka kwenye jengo la ghorofa apewa uraia Mhamiaji wa Mali amepongezwa kama shujaa baada ya kukwea sehemu ya mbele ya jengo la ghorofa mjini Paris kumuokoa mtoto aliekuwa kwenye uzio wa ubaraza wa ghorofa ya nne kwenye jengo refu. Video ya Mamoudou Gassam akimuokoa mtoto ilisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii. Alivuka kutoka kwenye ubaraza mmoja hadi mwingine kwa muda wa chini ya dakika moja akamvuta mtoto huyo aliyekuwa amekwama na kumsalimisha Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron baadaya kukutana na Bw Gassama kwenye makazi yake ya Elysee Palace Jumatatu kumshkuru binafsi alitangaza kumpa uraia wa taifa hilo.

JE? REAL MADRID WATAMSAJILI SALAH

Picha
mo salah hatakuwa tayari kujiunga na mabingwa wa ulaya kutokakana kitendo kilichofanywa na beki kisiki na kapteni wa real madrid..........kuwa si kitendo cha kiungwana ..............ameyasema hayo baada ya kuhojiwa na kituo kimoja mjin kiyv

ALIYONENA ZIDANE BAADA YA KUTWAA UBINGWA

Picha
HAYA NDIYO MANENO YA ZIDANE Zinedine Zidane amesema anajivunia kuweka historia na Real Madrid baada ya kunyakua taji la ligi ya mabingwa dhidi ya Liverpool siku ya Jumamosi. Real Madrid ilishinda mabao 3-1 huku Gareth Bale akifunga magoli mawili Real ni timu yenye mafanikio zaidi kwenye historia ya ligi ya mabingwa ikiwa na mataji 13. Zidane alisema:''hii ni klabu ya wakongwe. Klabu hii imeshinda makombe 13 ya Ulaya nafurahi kuwa sehemu ya historia hii Aliongeza: '' tunakwenda kufikiria kuhusu tulichokipata, kufurahia wakati huu kwanza.Ni kitu muhimu zaidi kwa sasa''.
Picha
real madrid yatwaa ubingwa wa ulaya